SPORTS: Klabu ya Barcelona leo imetangaza rasmi kuwa mchezaji wake, Ousmane Dembele atakuwa nje ya uwanja kwa muda wa miezi mitatu hadi minne kutokana na majeraha ya misuli ya paja aliyoyapata wikiendi iliyopita kwenye mchezo dhidi ya Getafe. Kupitia tovuti ya klabu ya Barcelona imethibitisha taarifa hizo na kuandika kuwa kesho Jumanne tarehe 19 septemba, Dembele atasafirishwa kwenda Finland kufanyiwa upasuaji.
Home
Unlabelled
USAJILI WA BARCELONA PAUNI 96, OUSMANE DEMBELE ATAKAA NJEE KWA MIEZI MINNE
USAJILI WA BARCELONA PAUNI 96, OUSMANE DEMBELE ATAKAA NJEE KWA MIEZI MINNE
Share This
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Bwherever is a Tanzanian Radio Personality and Blogger who initiative Bbaseonpoint blog.
No comments:
Post a Comment