

Mourinho ni mpenzi namba moja wa kiungo huyo mchezeshaji na atafanya juu chini kuweza kuwa sisitiza uongozi wa united kumvuta kiungo uyo wa Kijerumani. Ozil ambae aliwaomba Asernal wamuongezee msahara wa pauni 250,000 kwa wiki huku Asernal bado wakiwa na kigugumizi cha kumlipa Pesa hiyoo.
Licha ya hivo United wameonekana wakiwa vizuri tangia ligi ilipoaanza na wakionekana ni timu inayowania ubingwa wa ligi,
No comments:
Post a Comment