ASERNAL WAENDELEA KUTENGENEZA NYAMA YENYE VIUNGO TELE! WALA TIZI LA KUFA MTU ILI KUWAKABILI WEST BROWI - BZONE

ASERNAL WAENDELEA KUTENGENEZA NYAMA YENYE VIUNGO TELE! WALA TIZI LA KUFA MTU ILI KUWAKABILI WEST BROWI

Share This
NA BWHEREVER 
SPORTS: Wachezaji wa Asernal waendelea kujifua zaidi ili kuwakabili vijana wa west brom . Washika bunduki hao wa london wataahumana na west brom katika usiku wa Jumatatu huku wakijitahidi kujazia nyama yenye viungo vilivonona. Huku wakiwa wanatakiwa  lazima washinde kwenye mchezo huo huku wakiwa wanajua wababe wa Manchester wote wakiwa kileleni mwa ligi.
Kama inavofahamika west Brom sio watu wa kuwabeza sana na kuwadharau maana huwa wanafanyaga kile wanachotumwa.
katika kujifua huko Mesut Ozil aliweza kuonekana akijiunga na washika bunduki wenzake na ikitolewa taarifa kurudi katika kikosi hicho Emirates, mjerumani huyo alikuwa akisumbuliwa na goti  lakini hivi sasa amerudi katika mazoezi 
, huku Theo Walcot hakionekana yupo fiti kuminyana na West Brom ukiachilia mbali na kufosiwa kutoka katika kombe la Carabao zidi ya Doncaster.Mshambuliaji Danny Welbeck, Francis Coquelin, and Santi Cazorla watakosa mchezo huo wakiwa wanasumbuliwa na majeruhi bado. Calum Chambers yeye akiwa bado anasumbuliwa na nyama za makalio na kumfanya kuendelea kukaa nje 
Hiki ndio kikosi kinacho tazamiwa kucheza kesho Cech, Ospina, Mertesacker, Holding, Koscielny, Monreal, Mustafi, Bellerin, Nelson, Kolasinac, Ramsey, Wilshere, Xhaka, Elneny, Ozil, Giroud, Walcott, Sanchez, Iwobi, Lacazette.

No comments:

Post a Comment

Pages