SPORTS: Mshambuliaji ambaye katika klabu ya hispania ambayo itacheza na Chelsea kwenye klabu bingwa ulaya, Antonio Conte yupo tayari kumpoteza mshambuliaji mtukutu Diego costa.
Conte anaweza kuonana uso kwa uso na Diego costa pale Chelsea itakapokutana na Atletico Madrid, Costa amerudi kwenye klabu yake ya mwanzo Atletico Madrid kwa uhamisho wa ada ya pauni millioni 67.
Mchezaji huyo wa kimataifa wa hispania anatarajiwa kujiunga na timu hiyo mwanzoni mwa January
Home
Unlabelled
JEE, ANTONIO CONTE ATASALIMIANA NA DIEGO COSTA.......!!
JEE, ANTONIO CONTE ATASALIMIANA NA DIEGO COSTA.......!!
Share This
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Bwherever is a Tanzanian Radio Personality and Blogger who initiative Bbaseonpoint blog.
No comments:
Post a Comment