SPORTS: Ukiachilia mbali na Chelsea kunyakua ubingwa wa ligi kuu uingereza msimu uliopita chini ya kocha Antonio Conte lakini Cesc Fabregas bado ajapata furaha baada ya kuona uwepo wake kweye kikosi michezo 13 ya ligi na kutokea benchi mara 16. Lahasha kiungo huyo wa Kihispania bado anaonekana kushawishika na magoli 5 na asisti 12, Fabregas amekubali na kuthibitisha kutokuwa na Furaha, " sitoweza kukana wala kukataa, kwasababu ulikuwa ni msimu mgumu sana" Aliwaambia kituo cha Marca.
Home
Unlabelled
FABREGAS ATHIBITISHA KUTOKUWA NA FURAHA CHINI YA CONTE "FAMILIA YANGU PEKEE NDIO INAJUA NINI NINAPITIA"
FABREGAS ATHIBITISHA KUTOKUWA NA FURAHA CHINI YA CONTE "FAMILIA YANGU PEKEE NDIO INAJUA NINI NINAPITIA"
Share This
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Bwherever is a Tanzanian Radio Personality and Blogger who initiative Bbaseonpoint blog.
No comments:
Post a Comment