“I dropped E.B.B.T.G on 2PAC’S bday because I’m the #newPAC I feel like I am the thug he didn’t get to become #SoImGoinFinishWhatHeStarted,” ameandika kwenye mtandao huo.
Sio Thug pekee ambaye amejifananisha na Tupac, wengine ni rapper Troy Ave ambaye pia ameachia albamu aliyoipa jina la ‘Nupac’ na Boosie Badazz ambaye pia amewahi kusema albamu yake mpya itaitwa ‘BooPac’.
No comments:
Post a Comment