CHIDINMA APANIA KUFANYA COLLABO NA ALI KIBA - BZONE

CHIDINMA APANIA KUFANYA COLLABO NA ALI KIBA

Share This
ENTERTAIMENT: Mwimbaji maarufu kutoka Nigeria Chidinma amemtaja bongo fleva super staa Ali Kiba kama msanii anayetaka kufanya naye kazi Afrika Mashariki.
Chidinma amesema haya kwenye kipindi cha maswali na majibu na mtandao wa muziki wa Mdundo kupitia  #MdundoTwitterview ya Mdundo music. 
Chidinma aliulizwa msanii gani anataka kufanya naye kazi East Africa na West Africa, East amemchagua Ali Kiba na West amemchagua Sarkodie.

No comments:

Post a Comment

Pages