SPORTS: Nyota wa Barcelona, Neymar jana alikuwa anasherehekea miaka 25 ya birthday yake ambayo ilikuwa inamshike mshike wa aina yake.
Jumapili ndio siku rasmi ambayo alizaliwa nyota huyo ila akaamua kuivuta siku mpaka jumatano ya jana kupiga party ya kufa mtu akiwa na mpenzi wake Bruna pamoja na wachezaji wenzake kama Messi, Suarez,Iniesta na wengine kibao.
No comments:
Post a Comment