Askofu Josephat Gwajima MIX: Alhamis hii amezijibu tuhuma za kujihusisha kwenye biashara ya madawa ya kulevya baada ya kutajwa kwenye orodha ya pili ya mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda. Alikuwa akizungumza mbele ya waumini na waandishi wa habari, kanisani kwake.

Home
Unlabelled
Askofu Gwajima amjibu Makonda mbele ya waumini wake 'Mungu atamshusha''
Askofu Gwajima amjibu Makonda mbele ya waumini wake 'Mungu atamshusha''
Share This
Share This
About Bwherever
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Bwherever is a Tanzanian Radio Personality and Blogger who initiative Bbaseonpoint blog.
No comments:
Post a Comment