Mamadou Sakho akaribia kutua Crystal Palace - BZONE

Mamadou Sakho akaribia kutua Crystal Palace

Share This
SPORTS: Klabu ya Crystal Palace ambayo inashiriki ligi kuu ya Uiengereza imeonyesha nia ya kumsajili beki Mamadou Sakho
Liverpool inataka ilipwe paundi milioni 20 ili kumuachia beki huyo raia wa Ufaransa.
Sakho na Kocha Jurgen Kloop ambaye ni wa Ujerumani wanaonekana kutoelewana kabisa.
Wakati dirisha la usajili linakwenda ukingoni , inaonekana juhudi zinafanyika

No comments:

Post a Comment

Pages