Mrembo wa video ya wimbo wa ‘Kwetu’ wa Rayvanny, Irene maarufu kwa jina la Lyyn kwenye mtandao wa Instagram anazidi kuwa mtamu kila kukicha.
Japo mrembo huyo ameonekana kuwa kimya kwa kipindi kirefu lakini kupitia picha alizoziweka kwenye mtandao huo Lyyn ameonekana kuzidi kunoga na kuwatoa udenda kwa kumfanya kila kidume rijali kumtamani. Tazama picha za mrembo huyo hapa chini.

Home
Unlabelled
Picha hizi za Irene wa video ya Kwetu, lazima zikutoe mate
Picha hizi za Irene wa video ya Kwetu, lazima zikutoe mate
Share This
Share This
About Bwherever
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Bwherever is a Tanzanian Radio Personality and Blogger who initiative Bbaseonpoint blog.
No comments:
Post a Comment