SPORTS: Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Togo Emmanuel Adebayor amesajiliwa na klabu ya Istanbul Basaksehir inayoshiriki ligi kuu ya nchini Uturuki.
Adebayor ambaye ana umri wa miaka 32, amekuwa hana klabu ya kuitumikia tangu aondoke Crystal Palace msimu uliopita, amejiunga na timu hiyo inayoshika nafasi ya pili katika ligi kuu Uturuki kwa mkataba wa miezi 18.

Home
Unlabelled
Emmanuel Adebayor atua ligi kuu ya nchini Uturuki
Emmanuel Adebayor atua ligi kuu ya nchini Uturuki
Share This
Share This
About Bwherever
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Bwherever is a Tanzanian Radio Personality and Blogger who initiative Bbaseonpoint blog.
No comments:
Post a Comment