Sisi Wote tulijisikia na kuona kama walikuwa na wachezaji mmoja au Wawili ambao walikuwa laini kidogo. - BZONE

Sisi Wote tulijisikia na kuona kama walikuwa na wachezaji mmoja au Wawili ambao walikuwa laini kidogo.

Share This
The rivalry between Sir Alex Ferguson and Arsene Wenger is being explored in a new filmUnaijua ile 'Battle ya Old Trafford' "Pizzagate" chini ya Arsene Wenger na Alex Ferguson ambapo magwiji wa kama Sol campbell, Martin Keown na Lee Dixon ambao walikuwa na nidhamu ya jeuri na Ferguson akiwa analalia mgongo wa marefa, nembo za United kama Paul Scholes vile na Phil Neville walikuwa wanawawinda vipi washika mitutu huku wao wakionekana wachezaji laini sana.

Channel 5's 'Feud' documentary has players from both sides giving their accounts of events

Phil Neville alituambia kwamba kazi moja wapo kwa Arsenal hasa pale Oktoba 2004 pale yeye na Gary na Paul scholes walikuwa wakipewa kazi ya kutembea na winga wa Kihispania Jose Antonio Reyes.

Jose Antonio Reyes (far right) was viewed by United at that time as one of Arsenal's 'soft' stars

Hapa ndio tulikuwa tunaona mapigano ndani ya uwanja na kwenye benchi na ndio kitu ambacho tulichokuwa tuanakipenda sana na ndo hapa mwelekeo wa kila mchezaji alipokuwa anakuja juu  kunakuwa kunabakia ghafi na ukweli siku zote ile hisia ya udhalimu bado ilibakia kwa Wenger ambapo United walikuwa wakichukua vichwa vikubwa sanan Duniani.

Another contentious moment which polarised the legends was the 'Battle of Old Trafford'

Kwa kesi ya Reyes tuliweza kuwaona Arsenal wakicheza michezo 49 bila kupigwa na kuliendelea kuleta utata lakini washika mitutu walikuwa na mgawanyo wa ukali na uchokozi.


Na ndio ilikuwa nafasi ya kuifanya Arsenal wamalize wakiwa maarufu kwa kumaliza msimu bila kupigwa, siku zote kazi kubwa ilikuwa pale wanapokutana pande hizi mbili kwenye dimba la Old Trafford. Kutoka kwenye 0-0 mashetani wekunde walipewa heshima ya utata kwa kupewa penati kwenye dakika ya 90 pale Keown alimdondosha chini Ruud Van Nistelrooy kwenye box.

Labelled a disgrace in the film by Neville and Scholes, Arsenal players stand by their actions

Lakini wachache wanaweza walikuwa hawakutarajia kwamba penati hiyo, Mda huo kulitokea mgawanyiko kwa Scholes hapa ndio tunapata maswali mengi juu ya wachezaji wa United  kama hii ndio kama fashion kwao.

The Frenchman won the domestic double in his first season in charge and the rivalry ignited

Wenger na Ferguson ni moja ya makocha wenye heshima kubwa sana Duniani vizazi na vizazi tokea miaka ya 90 hasa walipokuwa wanakutana ni moto ulikuwa unawaka hakuna asiyejua hilo hivi unamkumbuka Vieiraa alipokuwa anakutana na nahodha mwenzake Roy kean asee ni hatari sana.

It was a bitter rivalry best encapsulated through the captains Roy Keane and Patrick Vieira 

Ngoja kidogo nirudishe akili yako nyuma kidogo hii ilikuwa sio uwanjani wala kwenye lile handaki la kuingia uwanjani wanapokuwa wameweka mistari na hii ndio ilikuwa "Battle of Old Trafford"


No comments:

Post a Comment

Pages