THAMANI ILIOKUWA IKISUBILIWA..!! COSTA ASHINDA DAKIKA YA TANO NDANI YA HUWEPO WAKE TENA NDANI YA ATLETICO. - BZONE

THAMANI ILIOKUWA IKISUBILIWA..!! COSTA ASHINDA DAKIKA YA TANO NDANI YA HUWEPO WAKE TENA NDANI YA ATLETICO.

Share This
Diego Costa ameweza kushinda goli lake la kwanza ndani ya dakika ya tano tangia arudi kwenye kikosi cha Atletico Madrid.

Mshambuliaji huyo alitakiwa kusubiria mpaka kwenye mkimbizano wa copa del Rey na Lleida baada ya kusubiria kifungo chake cha usajili kufunguliwa.

Rasmi Costa amejiunga na timu yake ya mwanzo tangia septemba na sasa yupo ndai ya uzi wenye nyekundu na nyeupe tena upya kwenye usiku wa kuamkia Alhamisi.



Juanfran alifanya vizuri chini upande wa kulia na kupandisha mpira kwa Costa na kuuweka kimiyani. Mbali na kupokea mpira alipata kizuizi kidogo  wakati akishinda goli lake na alitakiwa apate huduma hapo kwa papo kwenye goti lake.
Diego Godin alipata mapema ufunguzi kwa Atletico kabla ya Fernando Torres kuongeza lingine baada ya dakika chache.



kama ulipitwa na hii usiache kuangalia.






No comments:

Post a Comment

Pages