

Cabello alitoka Fifth Harmony mwaka 2016 na amekuwa na mafanikio makubwa kupitia nyimbo kama “Havana” huku akisubiri ujio wa album yake ya Camila,
Cabello anasema kujitoa Fifth Harmony ni kama kilichotokea kwenye kundi la One Direction, wasanii kujitoa na kufanya mambo yao kama solo, mashabiki pia hawakutegemea hilo kwao, ndio kama kwetu pia.
No comments:
Post a Comment