MAN UNITED NA MOURINHO HAWAJA DHARILISHWA LAKINI WALIJIKUTA WAMEDONDOKEA VIWANGO VYA CITY - BZONE

MAN UNITED NA MOURINHO HAWAJA DHARILISHWA LAKINI WALIJIKUTA WAMEDONDOKEA VIWANGO VYA CITY

Share This
The difference between Manchester City and the Premier League's second best team was clearSPORTS: Pale timu inapoonekana kama mabingwa na nyingine ikiwa inaonekana kama watafutaji heshima. Manchester United waliweza kuzuia vizuri, walishindana hawaku haibishwa kabisa au Manchester waliweza kuchukua nafasi kubwa kwenye mchezo huo Man city msimuuu wanaonekana kuwa hatari sana.Jose Mourinho went into the game with no intention of matching Pep Guardiola's tactics

Walikuwa wamepungukiwa tuu tena sana walipungukiwa. Sio kwa ubora waliokuwa wanao City na ndomana karibia  nusu msimu wote wameweza kuachwa nyuma kwa alama 11.

Huku droo ya klabu bingwa ulaya ikipangwa leo kuerekea hatua ya 16 bora leo ndio itatuoneshabtaswira haswa kwa City, kuna timu nzuri kwenye ligi kuu hii imekuwa kwa mara ya kwanza kwa uingereza kupeleka timu tano kwenye hatua ya mtoano.Manchester City have come to believe they are an unbeatable side in the Premier League

Kati ya hizo bado hazijaonesha kiwango  walicho nacho City kwa sasa hata hao United wenyewe. Kwambio za ubingwa zipo wazi kabisa itakuwa ni ngumu sana kufanya utofauti. Inaweza ikasemwa kama  United walimkosa Paul pogba na baadhi ya walinzi lakini City nao walikosa walinzi pia. Hakuna mchezaji wa United aliecheza kwenye kiwango chake cha kawaida ambapo inaweza kulinganishwa na Raheem sterling, David Silva, Kevin De Bruyne, Leroy Sane hata Gabriel Jesus.Manchester United played well but they fell well short of a team operating on their own level

United wana washambuliaji wenye nguvu sana lakini  sio kwa walivo city lakini United hawana msukumo au tamaaa ya kutamani ubingwa. Ederson's double save sealed the win for Manchester City, but the die had already been castKama isingekuea Ederson alieweza kufanya na kupangua mikwaju miwili langoni na kukimbia kichapo na kutoka 2-2.

No comments:

Post a Comment

Pages