Rowley ameongea na machief scouts wa vilabu vingine na kuwaambia imetosha sana. Muongeajibwa klabu alisema Jumatano usiku na akasema maisha yake kwenye klabu yapo ukingoni.
Mbali na hiyo Rowley hana uhusiano wa karibu sana na Arsene Wenger ambae alimfanya Rowley kuwa chief scout mwaka 1996, ambae amekuwa akilaumiwa kufanya vibaya kwenye soko la uhamisho na mauzo ya wachezaji.
No comments:
Post a Comment