SPORTS: Willy sagnol amefanikiwa leo kuongoza mazoezi ya Bayern Munich akiwa kama kocha wa mda baada ya masaa 24 yaliyopita kufukuzwa kazi kwa Carlo Ancelotti, baada ya kupumzika Alhamisi kufuatia mchezo wao wa 3-0 klabu bingwa ulaya kundi B kwa kupokea kichapo kizito toka kwa wababe wa Paris PSG, Bayern wameweza kurudi kujiandaa kuelekea Hertha Berlin
Licha ya kupokea kipigo nakufukuzwa kwa kocha wao lakini wachezaji wa Bayern wameonekana wakihudhuria mazoezini huku wakiwa na motisha ya mchezo wao mwishoni mwa wiki hii.
Home
Unlabelled
WILLY SAGNOL AKIWA KAMA KOCHA WA MDA AWAONGOZA BAYERN MUNICH KWENYE MAZOEZI YAO LEO
WILLY SAGNOL AKIWA KAMA KOCHA WA MDA AWAONGOZA BAYERN MUNICH KWENYE MAZOEZI YAO LEO
Share This
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Bwherever is a Tanzanian Radio Personality and Blogger who initiative Bbaseonpoint blog.
No comments:
Post a Comment