- Liverpool walilazimishwa sare ya 1-1 dhidi ya wenyeji wao
- warusi hao walipata bao la kuongoza ndani ya dakika ya 23 kufuatia mkwaju mkali wa mpira wa adhabu uliofumuliwa na Fernando
- LIverpool wakafanikiwa kuweka mpira kimyani baada ya dakika mbili kutoka kwa Mane lakini alikuwa kashazidi
- Baada ya dakika 31 Liverpool wakasawazisha asante kwa countinho aliekuwa akigongeana na Mane
- Mohamed Salah, Roberto Firmino na Daniel Sturridge walikosa nafasi za wazi nyingi sana
Jurgen Klopp akionekana mtu aliechanganyikiwa sana, huku story ya kuto fanya vizuri ikijuridia tena.
No comments:
Post a Comment