BAADA YA KUTUMA SALAAMU KWA SIMBA, MBAO WAFANYA WALICHOKIAHIDI KWA SIMBA - BZONE

BAADA YA KUTUMA SALAAMU KWA SIMBA, MBAO WAFANYA WALICHOKIAHIDI KWA SIMBA

Share This
SPORTS: Baada ya mchezo namba 25 wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara baina ya Simba SC dhidi ya Mbao FC ambao ulichezwa jana  Alhamisi majira ya saa 10:00 jioni katika uwanja wa CCM Kirumba mkoani Mwanza huku mwenyeji klabu ya Mbao ikimtoa jasho zito mgeni  wake wa sare ya 2-2 baada ya kukiri kwamba  mtanange huo utakuwa mgumu ila tutawakomesha. Huku  Msimamo wa Ligi Kuu ya Vodacom baada ya mchezo wa leo kupigwa baina ya Simba SC dhidi ya Mbao FC na kutoka sare ya mabao 2-2 katika uwanja wa CCM Kirumba mkoani Mwanza

No comments:

Post a Comment

Pages