:BY THOMAS NG'ITU
M IX: Sikutaka kuandika kabisa kuhusu mziki kipindi hiki, ni kipindi kigumu kupitiliza nyimbo zilizotaka wiki iliyopita mpaka leo hii nyingi ni mbovu hata wao wenyewe zinawaboa kusikiliza nilichogundua hakuna anayeangalia mashabiki wanataka kitu gani na baadala yake wametega macho hii show yao wanayosemaga ni kubwa kuliko zote nchini hakuna jinsi acha nimuunge mkono Ali Kiba kwani hajafanya wimbo wake kwaajili ya show bali ni kwajili ya mashabiki zake wa ndani na nje mashairi ambayo kibongo yanaeleweka video ambayo mtu aliyepo nchi yoyote anaiangalia kugeuka kwake kuwa moto mjini ni baada ya kukata kiu na sio kutoa wimbo kwaajili ya kupandia kwenye stage
Home
Unlabelled
HIKI NI KIPINDI KIGUMU KUPITILIZA....KWENYE MUZIKI WA BONGO
HIKI NI KIPINDI KIGUMU KUPITILIZA....KWENYE MUZIKI WA BONGO
Share This
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Bwherever is a Tanzanian Radio Personality and Blogger who initiative Bbaseonpoint blog.
No comments:
Post a Comment