SPORTS: Romelu Lukaku amekuwa mchezaji wa nne kufunga magoli mawili katika mchezo wake wa kwanza kwenye #EPL Premier League akiwa na klabu ya Man Untd,
Wachezaji wengine waliowahi kuweka rekodi hii ni pamoja na Rashford (2016), Wilson (2014) na Ruud Van Nistelrooy (2001).
No comments:
Post a Comment