SPORTS: Beki wa timu ya taifa ya Ureno na klabu ya Real Madrid, Képler Laveran Lima Ferreira maarufu kama Pepe amefanikiwa kujiunga na Besiktas ya Uturuki. Mchezaji huyo mwenye miaka 34, amesaini mkataba wa miaka mitatu kuichezea timu yake hiyo mpya.
Pepe msimu uliopita alimaliza mkataba wake wa kuichezea Madrid kwa miaka kumi huku akiisaidia timu hiyo kushinda mataji ya ligi kuu ya Hispania, Uefa, na makombe mengine.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Bwherever is a Tanzanian Radio Personality and Blogger who initiative Bbaseonpoint blog.
No comments:
Post a Comment