

Mchezo huo ambao ulikuwa wa vuta ni kuvute kwa pande zote mbili kulisakama lango la mpinzani wake umemalizika dakika 90 bila ya timu yoyote kuchomoza na ushindi. Sasa Leopards wanamsubiri mshindi kati ya Gor Mahia dhidi ya Nakuru katika mchezo wa fainali ambao utachezwa Jumapili hii katika uwanja wa Uhuru.

No comments:
Post a Comment