
Akisawazisha uvumi huo juu ya tukio la kutiwa mbaloni sambamba na kuwekwa pingu mkononi Brown amesema kuwa ni kweli alikamatwa na polisi na kuwekwa chini ya ulinzi kwa muda kisha kuachiwa huru muda mfupi baadae baada ya kufuta taratibu za kisheria.
“kushikwa nilishikwa lakini sikukaa ndani, pia ilikuwa haiambatani na nyimbo ni vitu tofauti na hiyo nyimbo lakini stori zilizotoka nje nikazisikia kwamba ni kwasababu ya wale watu baadhi ya wale walikuwa kwenye ile video lakini ilikuwa ni issue tofauti” Alisema Brown kupitia kipindi cha Udaku Sasa cha Ntv Kenya.
No comments:
Post a Comment