“Kwanza kabisa ilikuwa ni ile ya Harmonize aliyomshirikisha Diamond, Bado. Hiyo nikishalewa tu kwenye kiti inakuwa kwenye playlist yangu inakuwa haiwezi kukosa,” Akothee amemuambia Mzazi Willy Tuva katika kipindi cha Msetoea cha Citizen Radio.
“Kwa hapa nyumbani kuna ile inaimbwa “Titima”, unajua mimi sijuagi lyrics vizuri. Uganda kuna hii ngoma yakitamb lakini naipenda ile anaitwa nani huyu Eddy Kenzo ‘Sitya Loss’,” ameongeza.
No comments:
Post a Comment