ENTERTAIMENT: Msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka ‘THT’ Tanzania aliyetamba zaidi na ngoma yake ya ‘One Day’ na mwenye ujio wa kazi mpya inayokwenda kwa jina ‘Wasikudanganye’ Nandy ametaja mtu wakwanza kumshauri kufanya album inayotegemewa kutoka rasmi mwakani.
Home
Unlabelled
NANDY ATOBOA ALIYEMSHAURI KUHUSU ALBUM YAKE IJAYO
NANDY ATOBOA ALIYEMSHAURI KUHUSU ALBUM YAKE IJAYO
Share This
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Bwherever is a Tanzanian Radio Personality and Blogger who initiative Bbaseonpoint blog.
No comments:
Post a Comment