HUYU NDIO MRITHI WA THOMSA TUCHEL DORTUMUND - BZONE

HUYU NDIO MRITHI WA THOMSA TUCHEL DORTUMUND

Share This
SPORTS: Klabu ya Borussia Dortmund kutoka Ujerumani imemtangaza Peter Bosz kuwa kocha mpya wa Klabu hiyo kwa mkataba wa miaka miwili baada ya Thomas Tuchel kuachia ngazi klabuni hapo
Bosz,53 anaondoka katika klabu ya Ajax ya nchini Uholanzi baada ya kuisaidia timu hiyo kutinga hatua ya fainali ya michuano ya Europa ligi msimu huu.
Kocha huyo anakua Muholanzi wa pili kuifundisha timu hiyo baada ya Bert van Marwijk mwaka 2004. Dortmund wameshinda taji moja msimu uliopita ambalo ni kombe la ligi maarufu kama “DFP Pokal” huku wakimaliza nafasi ya tatu katika ligi msimu uliopita.

No comments:

Post a Comment

Pages