![](https://pbs.twimg.com/media/DB9L4XmXYAANadw.jpg)
![](https://pbs.twimg.com/media/DB7650FUwAA_uv9.jpg)
Kati ya nyimbo hizo zote zitakazopatikana kwenye albamu hiyo, ni nyimbo tatu pekee ambazo tayari Khaled alishaziachia ambazo ni ‘Shining’ aliyomshirikisha Jay Z na Beyonce, ‘To The Max’ aliyomshirikisha Drake na ‘I’M The One’ aliyowashirikisha Lil Wayne, Quavo, Chance The Rapper, Future na Justin Bieber.
Albamu hiyo inatarajiwa kuachiwa Juni 23 ya mwaka huu.
No comments:
Post a Comment