SPORTS: Yusuph Manji amejiuzulu katika nafasi yake hiyo uwenyeketi katika klabu ya soka ya Yanga. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari, Manji amesema ameamua kuachia ngazi ya uongozi huo kwa ajili ya kuwapisha watu wengine waongoze ili wasifikirie uongozi katika timu hiyo upo kwa ajili ya watu wachache pekee.
Home
Unlabelled
YUSUPH MANJI AIBWAGA YANGA KWENYE MATAA, AJING'ATUA BAADA YA MIAKA 11 YANGA
YUSUPH MANJI AIBWAGA YANGA KWENYE MATAA, AJING'ATUA BAADA YA MIAKA 11 YANGA
Share This
Share This
About Bwherever
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Bwherever is a Tanzanian Radio Personality and Blogger who initiative Bbaseonpoint blog.
No comments:
Post a Comment