YUSUPH MANJI AIBWAGA YANGA KWENYE MATAA, AJING'ATUA BAADA YA MIAKA 11 YANGA - BZONE

YUSUPH MANJI AIBWAGA YANGA KWENYE MATAA, AJING'ATUA BAADA YA MIAKA 11 YANGA

Share This
SPORTS: Yusuph Manji amejiuzulu katika nafasi yake hiyo uwenyeketi katika klabu ya soka ya Yanga. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari, Manji amesema ameamua kuachia ngazi ya uongozi huo kwa ajili ya kuwapisha watu wengine waongoze ili wasifikirie uongozi katika timu hiyo upo kwa ajili ya watu wachache pekee.

No comments:

Post a Comment

Pages