Janjaro, Ngarenaro Republic amedropisha kichupa cha ngoma yake mpya “Ukivaaje Unapendeza” kichupa ambacho wakali wa hizi kazi wanadai ametupia kuliko kawaida.
ENTERTAIMENT: Haya kwa wote wale ambao bado walikuwa wanabisha kuhusu Dogo Janja kuwa ndio msanii ambaye anaumiza kwa mitupio Afrika Mashariki nzima naomba wawe wapole, coz the wait is over.
No comments:
Post a Comment