ENTERTAIMENT: Kila raia hupenda kuwa karibu na msanii wake au mtu maarufu, ila sasa muda mwingine ukaribu ukizidi unaweza kuchezea kichapo kwa walinzi, Davido ameamua kuonyesha kwamba mashabiki wananafasi kubwa kwenye maisha yake na kuwatetea.
Kupitia video ambayo ilipostiwa na Hiptv katika kurasa yao ya Instagram ilikuwa inamwonyeshaDavido akiwa anaperforme jukwaani, Ghafla akatokea mlinzi ambaye alivua mkanda wake na kuanza kuwapa mikanda mashabiki, Davido aliona sio kesi akiwaweka mashabiki zake mbele, akaamua kumweka askari pembeni baada ya kitendo hicho.

Home
Unlabelled
UTAPENDA ALICHOKIFANYA DAVIDO KWA MASHABIKI ZAKE
UTAPENDA ALICHOKIFANYA DAVIDO KWA MASHABIKI ZAKE
Share This
Share This
About Bwherever
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Bwherever is a Tanzanian Radio Personality and Blogger who initiative Bbaseonpoint blog.
No comments:
Post a Comment