RATIBA YA MECHI ZA EPL LEO JUMAMOSI YA FEBRUARY 4 - BZONE

RATIBA YA MECHI ZA EPL LEO JUMAMOSI YA FEBRUARY 4

Share This
Kama kawiz leo jumamoosi ya February 4 ni jumla ya michezo 8 ambayo inatarajiwa kurindima katika viwanja tofauti tofauti nchini England leo hii katika muendelezo wa ligi kuu nchini humo.
  1. Chelsea vs Arsenal (Saa 9:30 Alasiri)
  2. Crystal Palace vs Sunderland (Saa 12:00 Jioni)
  3. Evertone vs AFC Bournemouth (Saa 12:00 Jioni)
  4. Hull City vs Liverpool (Saa 12:00 Jioni)
  5. Southampton vs West Ham united (Saa 12:00 Jioni)
  6. Watford vs Burnley (Saa 12:00 Jioni)
  7. West Bromwich Albion vs Stoke City (Saa 12:00 Jioni)
  8. Tottenham Hotspurs vs Middlesbroud (Saa 2:30 Usiku)
Sasa ujue mchongo uko vipi? Niachie utabiri wako katika game ya leo ya Chelsea vs Arsenal, nani anakufa leo hii? Ikiwa kwenye game yakwanza Chelsea alikufa kwa bao 3-0. Niandikie utabiri wako hapa chini kwenye comments.

No comments:

Post a Comment

Pages