CHANCE THE RAPPER NA UJIO WA #THANKUOBAMA - BZONE

CHANCE THE RAPPER NA UJIO WA #THANKUOBAMA

Share This
Chance The Rapper bado anamapenzi mubashara kwa Barack Obama.
Wakati Raia wengine wakiwa bado wapo kwenye maneno na kuuandamana juu ya uamuzi waDonald TrumpChance The Rapper pamoja na Joe Fresh wameamua kupromote collection yao ya nguo ya #ThankUObama clothing ambayo ilizinduliwa january 20.

View image on Twitter

No comments:

Post a Comment

Pages