

Ngoma hii iliachiwa Januari 2017 ikiwa ni video ya kwanza kwenye mtandao wa Youtube kufikisha watazamaji Bilioni 5.

Ngoma hii ikiwa imejipatia umaarufu kwa kuvunja rekodi sita kubwa Duniani na sasa imepata hii ya saba ahsante kwa wale walioweza kuisikiliza na hiyo ni Despacito.
Imeweza kuipita ile iliopendwa ya Wiz khalifa na Charlie Puth 'see you again' ambayo ilipata watazamji bilioni 3.4.
Rekodi nyingine ni ngoma ambayo imeangaliwa sana Online, ni ngoma bora iliopigwa Online pamoja na na video bora iliotazamwa sana Youtube na vile vile iliweza kukamata namba moja kwenye chati za Billboard mwezi wa pili mwaka 2018.
No comments:
Post a Comment