

Na hayo ndio aliyoweza kuyatoa yale yaliyokuwemo kwenye kichwa chake kupitia kinywa chake alikuwa akiongea hayo yote kupitia kipindi cha BREAKFAST CLUB kwenye radio ya 105.1 leo Jumanne asubuhi na alitoa majibu hayo pale alipoulizwa na Charlamagne.
Tukiwa tunaliongelea hilo Cardi B yupo mbioni kuachia Album yake na akitarajia kuwa na Tour ya pamoja na Bruno Mars.
Cardi B amethibitisha kuwa anaweza akaimili kile kilicho mbele yake kwasasa huku akiwa na hamu ya kumuona mtoto wake wa kwanza.
No comments:
Post a Comment