ENTERTAIMENT: Mtoto wa kwanza wa Chris Brown,Royalty mwenye umri wa miaka 3 anafata nyayo za Baba yake, Leo kupitia wazazi wake mtoto huyu maarufu ametambulisha bidha zake za nguo na vipodozi kwaajili ya watoto wa jinsia zote Nguo hizo zitakuwa na muonekano wa rangi tofauti, magauni na vipodozi kwaajili ya watoto wanaopenda kutoka na kupendeza, mama wa Royalty, Nia Guzman anasaidia pia.
Mama Royalty ametangaza Aug. 6 bidha hizo zitapatikana kwenye tovuti ya RoyaltyBrown.Com.
Home
Unlabelled
CHRIS BROWN AMFUNGULIA MWANAE BRAND YA BIDHAA YA NGUO NA VIPODOZI
CHRIS BROWN AMFUNGULIA MWANAE BRAND YA BIDHAA YA NGUO NA VIPODOZI
Share This
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Bwherever is a Tanzanian Radio Personality and Blogger who initiative Bbaseonpoint blog.
No comments:
Post a Comment