ENTERTAIMENT: Ikiwa imepita miezi miwili tangu boss wa WCB, Diamond Platnumz aweke wazi kuwa Rayvanny anatarajia kufungua studio hatimaye imekamilika. Kama ilivyokwisha tangazwa kuwa prodyuza Rash Don ndiye atahusika katika kusuka beat ndani ya studio hiyo, hadi sasa wasanii kama Dogo Janja na Madee wameonekana wakijiachia ndani ya studio hiyo, pengine kuna kazi inakuja. Tazama picha zaidi.
Home
Unlabelled
HUU NDIO MUONEKANO WA STUDIO YA RAY VANNY
HUU NDIO MUONEKANO WA STUDIO YA RAY VANNY
Share This
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Bwherever is a Tanzanian Radio Personality and Blogger who initiative Bbaseonpoint blog.
No comments:
Post a Comment