MIX: Naamini mara kadhaa utakuwa umekutana na brands za mkali wa muziki wa Bongo fleva, Alikiba, iwe ni kitaani kwako au hata kwenye mitandao ya kujamii kuwaona wana wakitupia vitu kama T-Shits, Kofia vyenye logo ya Alikiba.
Na ikakupa picha kamili kuwa mkali huyo now anadeal na michongo ya kutengeneza mavazi yenye logo yake na vitu kama hivyo, wala hujakosea, ni kweli kabisa ila unachotakiwa kufahamu ni kwamba mkali huyo kwasasa anataka kuwa serioius kinoma kwa upande huo.
No comments:
Post a Comment