Mchezo huu ni muhimu zaidi kwa Manchester United ambao wamemaliza ligi katika nafasi ya sita katika ligi ya England, hivyo kama watashinda licha ya kutwaa kombe watapata tiketi ya kucheza michuano ya klabu bingwa ulaya msimu ujao.

Ajax tayari wana nafasi ya kucheza klabu bingwa ulaya msimu ujao kwa kuwa wamemaliza ligi ya kwao nchini Uholanzi wakiwa katika nafasi ya pili.

No comments:
Post a Comment