CHEKI JINSI MASTAA WA AFRIKA WALIVOKICHAFUA KWENYE ONE AFRICA MUSIC FEST 'LONDON' - BZONE

CHEKI JINSI MASTAA WA AFRIKA WALIVOKICHAFUA KWENYE ONE AFRICA MUSIC FEST 'LONDON'

Share This
ENTERTAIMENT: Usiku wa Jumamosi ya Mei 13 limefanyika tamasha la One Music Africa Fest mjini London katika ukumbi wa SSE Arena Wembley. Wasanii kibao kutoka bara la Afrika walitumbuiza katika tamasha hilo, akiwemo Alikiba, Davido,Tiwa Savage, Sarkodie, Tekno, Victoria Kimani, P-Square, Cassper Nyovest, Mr Flavour na wengine.

Tamasha hilo pia lilikuwa likionyeshwa moja kwa moja kupitia mtandao wa Tidal unaomilikiwa na Jay Z pamoja na mastaa wengine wakubwa. Hizi baadhi ya picha za wasanii hao wakiwasha moto jukwaani.

No comments:

Post a Comment

Pages