ENTERTAIMENT: Usiku wa Jumamosi ya Mei 13 limefanyika tamasha la One Music Africa Fest mjini London katika ukumbi wa SSE Arena Wembley. Wasanii kibao kutoka bara la Afrika walitumbuiza katika tamasha hilo, akiwemo Alikiba, Davido,Tiwa Savage, Sarkodie, Tekno, Victoria Kimani, P-Square, Cassper Nyovest, Mr Flavour na wengine.
Tamasha hilo pia lilikuwa likionyeshwa moja kwa moja kupitia mtandao wa Tidal unaomilikiwa na Jay Z pamoja na mastaa wengine wakubwa. Hizi baadhi ya picha za wasanii hao wakiwasha moto jukwaani.
Home
Unlabelled
CHEKI JINSI MASTAA WA AFRIKA WALIVOKICHAFUA KWENYE ONE AFRICA MUSIC FEST 'LONDON'
CHEKI JINSI MASTAA WA AFRIKA WALIVOKICHAFUA KWENYE ONE AFRICA MUSIC FEST 'LONDON'
Share This
Share This
About Bwherever
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Author Details
Bwherever is a Tanzanian Radio Personality and Blogger who initiative Bbaseonpoint blog.
No comments:
Post a Comment