
Lakini pia kemikali hizi hukinzana na utendaji kazi wa taste buds (huhusika na utambuzi wa ladha) kwa kuvunja vunja phospholipids kwenye ulimi wako. Matokeo yake husababisha ladha ya uchachu (bitter tastes) nahii ndo sababu kila unachokionja na kukila huonekana kibaya mara baada ya kusafisha meno yako.
Lakini hali hii huondoka mara tu baada ya mda mfupi. Niwatoe hofu watumiaji wa dawa za meno kuwa hali hii ya kuhisi uchachu haina madhara yeyote kiafya.
No comments:
Post a Comment