RAHEEM STERLING ATAKUJA KUWA MOJA YA WACHEZAJI WAZURI DUNIANI LAKINI ANATAKIWA AJIWEKE SAWA KWENYE UMALIZIAJI.. - BZONE

RAHEEM STERLING ATAKUJA KUWA MOJA YA WACHEZAJI WAZURI DUNIANI LAKINI ANATAKIWA AJIWEKE SAWA KWENYE UMALIZIAJI..

Share This
Raheem Sterling inaonekana anakuja kuwa moja kati ya wachezaji wazuri Duniani lakini atatakiwa kujiboresha kwenye swala la umaliziaji.

The England international did manage to score for Manchester City against Tottenham

Sterling alikuwa ni mchezaji bora kwenye mchezo dhidi ya Tottenham akishinda mkwaju wa penati na kushinda goli la tatu.



Lakini mwingereza huyuu alikosa nafasi kadhaa za magoli huku kocha wake akibaki kusema anatakiwa kujiunga na kundi la wachezaji ambao ni bora Duniani

But Sterling also managed to miss a series of good opportunities during the game at Wembley

Kwa mda ambao ataongeza ufundi wa kushinda magoli ndio atazidi kujiweka kwenye nafasi ya kuwa mchezaji bora Duniani kama unakumbuka alikosa nafasi mbili za wazo kabisa dhidi ya United na jana pia alikosa kwa mda ambao atakuwa anaimalika ndio mda ambao atakuja juu.

No comments:

Post a Comment

Pages